Mchezaji Gareth Bale alifunga mabao matatu na kumfanya kocha mpya wa kilabu ya Real Madrid Zinedine Zidane kupata ushindi wa kwanza katika kazi yake dhidi ya Deportivo La Coruna.
Karim Benzema alifunga bao lake la 100 katika ligi ya Uhispania alipoiweka timu yake kifua mbele katika dakika za kwanza tangu kuondoka kwa aliyekuwa mkufunzi Rafael Benitez.
No comments:
Post a Comment
yes by message